Facebook
Facebook
You must log in first.
:forum-110833362/smallform/0:
Need a Facebook account?
Help Center
English (US) · বাংলা · हिन्दी · More…
Facebook ©2012

Tuesday, May 28, 2013

R.I.P Mangwear,Soma hapa chanzo cha kifo chake...


Taarifa Kutoka South
Africa Kutoka Kwa Hussein
Original Ambaye Yupo Pretoria
Amesema Ngwear Amefariki Leo
Asubuhi. Alikuwa Ghetto Moja Na
Msanii M To The P.
Walivyokwenda Kuwagongea
Asubuhi Walikuta Ngwear
Amefariki Na M To The P
Amepoteza Fahamu Kabisa. Pia
Daktari Ameshatoa Taarifa Kwa
Watu Wa Karibu Wa Ngwear
Huko South Africa. Ngwea akiwa na msanii M
to the P jana south africa.mtu wa karibu
anasema walitakiwa kurudi dar leo lakini
waliwakuta wamezima kwenye room wote
wawili baada ya kuji overdose madawa ya
kulevya na M to the P yupo hoi hospitali.

0 comments:

Post a Comment