Baada ya Barcelona kutawazwa rasmi kuwa mabingwa wa ligi kuu ya nchini
Hispania msimu wa 2012/2013 leo ilikuwa siku ya kipekee nchini
Hispania,siku ya full shangwe kila mtu akisahau machungu ya kutolewa kwa
aibu na FC Bayern Munich wacatalans walitoka barabarani kushuhudia
kombe lao likizungushwa mitaa ya jiji la Barcelona yaani walifanya
Street Parade.Cheki picha hapa...
Tuesday, May 14, 2013
FCBarcelona wakifurahia ushindi wao wa Ligi kwa kulipitisha kombe mitaa mbalimbali ya jiji la Barcelona
7:30 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment