Facebook
Facebook
You must log in first.
:forum-110833362/smallform/0:
Need a Facebook account?
Help Center
English (US) · বাংলা · हिन्दी · More…
Facebook ©2012

Sunday, September 22, 2013

Al shabaab wajitapa na kudai wameua wakenya 100 jana...Twitter wafunga account yao..


Zaidi ya watu 39 wameuawa na wengine 150 kujeruhiwa baada ya watu wenye silaha kuliteka jengo lenye maduka la Westgate, jijini Nairobi, Kenya.

Tukio hilo lilitokea jana mchana ambapo watu waliokuwa wakizungumza lugha ya kigeni, inayodhaniwa kati ya Kiarabu au Kisomali, kuvamia jengo la ghorofa na kushambulia watu kwa risasi.


“Hawakuwa wakizungumza Kiswahili. Walikuwa wakizungumza kwa lugha kama vile Kiarabu au Kisomali, lakini sina hakika sifahamu lugha hizo,” alisema mmoja wa mashuhuda aliyefanikiwa kutoka ndani ya jengo hilo na kujitambulisha kwa jina moja la Jay.


Shuhuda mwingine aliyejitambulisha ni mfanyakazi wa Ubalozi wa Uholanzi jijini Nairobi, Rob Vandijk, alisema tukio hilo lilitokea wakati akipata chakula cha mchana ndani ya jengo hilo.


Alisema watu hao waliingia ndani ya jengo la maduka hayo 
na kuanza kushambulia watu kwa risasi.


Katibu Mkuu wa Chama cha Msalaba Mwekundu, Abbas Guled alisema: “Ninachoweza kusema tuna takriban maiti 20. Majeruhi ni wengi.”


Katika hotuba iliyorushwa moja kwa moja baadaye, Rais Uhuru Kenyatta alithibitisha kuwa zaidi ya watu 39 walikufa katika shambulizi hilo la kinyama, na wengine 150 kujeruhiwa.


"Vyombo vya usalama vinafanya kila jitihada kuthibiti eneo hili na kuwakamata waliohusika," asema Mr Kenyatta, akiongeza kuwa naye pia amepoteza wanafamilia katika tukio hilo. 
 
Polisi Waingia

Taarifa zingine zilisema kuwa polisi waliwasili eneo la tukio dakika 30 baada ya watu hao kuvamia jengo hilo.


Kamanda wa Polisi wa Kenya, Inspekta Jenerali David Kimaiyo alisema kwamba polisi walifika katika jengo hilo baada ya kupata taarifa, ambapo nao walianza kujibizana kwa risasi na magaidi hao waliokuwa hapo ndani.


Alisema watu hao wanaosadikiwa ni magaidi walikuwa wakijaribu kuiba pesa katika jengo hilo, kabla ya polisi hawajatokea na kuanza kurushiana risasi.

Helikopta za polisi zilionekana zikilizunguka jengo hilo kwa juu kuhakikisha hakuna mhalifu yeyote ambaye anaweza kutoroka.


Mashuhuda walisema kwamba walikuwa wakipata chakula cha mchana jirani na jengo hilo, ghafla wakashuhudia milio wa risasi kutoka katika eneo hilo.

Polisi walifanikiwa kuingia katika jengo hilo baada ya kukaa kwa muda mrefu kuangalia namna ya kuingia kwa sababu hawakujua watu hao walikuwa wamejificha eneo gani.

Baada ya polisi kuingia katika jengo hilo watu waliokuwa ndani walipata fursa ya kutolewa, huku polisi wengine wakiendelea kuwatafuta wahalifu hao.

Al-Shabab Yanena
Wakati shambulizi likiendelea jana jioni, wanamgambo wa kikundi cha Kiislamu cha Al-Shabab walivyambia vyombo vya habari kupitia Twitter kuwa wamehusika na tukio hilo.

“Tulishaionya serikali ya Kenya kuwa dhahama itaikumba kama isipoondoa vikosi vyake kutoka Somalia,” Al-Shabab waliandika kupitia akaunti yao ya Twitter inayoitwa @HSM_Press.


Wanamgambo hao waliongeza kuwa wamefanikiwa kuua watu wengi  ( 100 ) kuliko idadi inayotajwa na serikali ya Kenya, huku wakibeza jitihada za uokoaji.

Kutokana na malalamiko kutoka kwa waathirika wa tukio na vyombo mbalimbali vya usalama, FastCompany inaripoti kuwa Twitter ililazimika kuifunga akaunti hiyo  usiku  wa  kuamkia  leo.

HIZI  NI  TWEET  ZAO  KATIKA  ACCOUNT  YAO  NYINGINE  MAANA  WANAZO  KAMA  3  ivi:

 

PICHA ZA KUSIKITISHA KATIKA SHAMBULIO LA KENYA HAPO JANA..!! TAHADHARI BAADHI YA PICHA ZINATISHA.!


September 21, ni tarehe ambayo Kenya haitoisahau kamwe. Ni baada ya kundi la wanamgambo wa Al-Shabab lilipoishambulia mall ya Westgate maarufu kwa kuwa na wateja matajiri jijini Nairobi na kuwashikilia watu mateka, kuwaua na kuwajeruhi wengine.
Mwanamke aliyekuwa amejeruhiwa akiomba msaada Mwanamke aliyekuwa amejeruhiwa akiomba msaada
Familia ikiwa imeshikana mikono wakati ikitoka nje ya eneo la hatari Familia ikiwa imeshikana mikono wakati ikitoka nje ya eneo la hatari
article-2427892-182485E800000578-152_964x631
130921145130-25-kenya-mall-restricted-horizontal-gallery
130921103725-07-kenya-mall-horizontal-gallery
Mashuhuda wanasema watu hao waliokuwa na silaha, wakiwa na nguo nyeusi na vichwa vyao vikifunikwa na vilemba waliingia kwenye mall hiyo ya Westgate jana mchana. Mpaka sasa, idadi ya watu walioshikiliwa mateka ndani ya mall hiyo haijajulikana.
Mama na wanae akiwa amejificha kuhofia kuuawa na watu hao makatili Mama na wanae akiwa amejificha kuhofia kuuawa na watu hao makatili
Mfanyakazi wa Red Cross akimbeba mtoto aliyekuwa ndani ya mall hiyo Mfanyakazi wa Red Cross akimbeba mtoto aliyekuwa ndani ya mall hiyo
Mtoto akikimbia kuokoa maisha yake Mtoto akikimbia kuokoa maisha yake
Mtoto akiwa nje baada ya kutolewa ndani ya mall, pembeni ni mwili wa mtu aliyeuawa
Mtoto akiwa nje baada ya kutolewa ndani ya mall, pembeni ni mwili wa mtu aliyeuawa

Zaidi ya watu 40 wameripotiwa kuuawa na zaidi ya 162 wakijeruhiwa.
Mtu na mpenzi wake waliouwa kwa pamoja na wanamgambo hao Mtu na mpenzi wake waliouwa kwa pamoja na wanamgambo hao
Mwanamke akilia kwa woga baada ya kuokolewa na askari Mwanamke akilia kwa woga baada ya kuokolewa na askari
Mwanamke aliyejeruhiwa akitolewa nje kwa kubebwa kwenye toroli la kufanyia shopping Mwanamke aliyejeruhiwa akitolewa nje kwa kubebwa kwenye toroli la kufanyia shopping
Mwanamke aliyekuwa ameshikiliwa mateka akiwa haamini baada ya kuachiwa Mwanamke aliyekuwa ameshikiliwa mateka akiwa haamini baada ya kuachiwa
Maafisa wamesema watu hao wamebananishwa na kwamba watu wameshikiliwa mateka kwenye maeneo mbalimbali. Al-Shabab imeliambia shirika la habari la Uingereza BBC kuwa limefanya shambulio hilo kujibu opereshini za kijeshi za Kenya zinazoendelea nchini Somalia.
<img src="http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/09/Mwanaume-aliyejeruhiwa-akilia-kwa-uchungu-kutokana-na-maumivu-makali-baada-ya-kupigwa-risasi-ya-mguu.jpg" alt="Mwanaume aliyejeruhiwa akilia kwa uchungu kutokana na maumivu makali baada ya kupigwa risasi ya mguu" width="600" height="400" class="aligncenter size-full wp-image-57459" Mwanaume aliyejeruhiwa akilia kwa uchungu kutokana na maumivu makali baada ya kupigwa risasi ya mguu
Ofisa wa usalama na wenzake wakielekezana na wenzake mahali walipo watu hao wenye silaha Ofisa wa usalama na wenzake wakielekezana na wenzake mahali walipo watu hao wenye silaha
Polisi akisaidia kumtoa mtoto aliyekuwa ndani ya mall Polisi akisaidia kumtoa mtoto aliyekuwa ndani ya mall
Polisi na wanajeshi wakipambana na magaidi hao Polisi na wanajeshi wakipambana na magaidi hao
Mashuhuda wengine wamedai kuwa wanamgambo hao waliwaambia waislamu waondoke na wabaki waumini wa dini zingine.
“Walisema na kusema: ‘Kama wewe ni muislamu, simama. Tumekuja kuwaokoa,” Elijah Lamau aliiambia BBC. Alisema waislamu waliondoka wakiwa wamenyoosha mikono juu na kisha watu hao wakawapiga risasi watu wawili.
Polisi wa Kenya akiwa ameshika tumbo lake baada ya kujeruhiwa huku mwenzake akiendelea kurushiana risasi na magaidi wa Al-Shabab Polisi wa Kenya akiwa ameshika tumbo lake baada ya kujeruhiwa huku mwenzake akiendelea kurushiana risasi na magaidi wa Al-Shabab
Polisi wakiingia ndani ya mall hiyo kupambana na wana mgambo wa Al-Shabab Polisi wakiingia ndani ya mall hiyo kupambana na wana mgambo wa Al-Shabab
Polisi wakipambana na Al-shabab Polisi wakipambana na Al-Shabab
Rais wa Canada Annemarie Desloges, 29, aliuawa kwa risasi na magaidi hao Raia wa Canada Annemarie Desloges, 29, aliuawa kwa risasi na magaidi hao
Wanajeshi walimwaga kwenda kusaidia kupambana na watekaji wa kundi la kigaida la Al-shabab Wanajeshi walimwaga kwenda kusaidia kupambana na watekaji wa kundi la kigaida la Al-Shabab
Wananchi wa mataifa mbalimbali waliokuwa wakifanya shopping kwenye mall hiyo wakiwambia kuinua mikono yao kuonesha hawana silaha Wananchi wa mataifa mbalimbali waliokuwa wakifanya shopping kwenye mall hiyo wakiwambia kuinua mikono yao kuonesha hawana silaha
Gaidi mmoja alikamatwa jana na kufa kutokana na majeraha. Maafisa wa Kenya wameimbia BBC kuwa wengine wanne wamekamatwa. Wananchi wakikimbia kuokoa maisha yao Wananchi wakikimbia kuokoa maisha yao
Wanawake na watoto wao wakihaha kuokoa maisha yao ndani ya mall hiyo Wanawake na watoto wao wakihaha kuokoa maisha yao ndani ya mall hiyo
Wanawake waliojeruhiwa wakisaidiwa Wanawake waliojeruhiwa wakisaidiwa
Watu mbalimbali wakijaribu kuokoa maisha yao wakati watu hao wenye silaha wakiwa ndani ya mall Watu mbalimbali wakijaribu kuokoa maisha yao wakati watu hao wenye silaha wakiwa ndani ya mall
Watu wakimsaidia kumdaka msichana aliyekuwa amejificha ndanii ya mall hiyo Watu wakimsaidia kumdaka msichana aliyekuwa amejificha ndanii ya mall hiyo
Watu wakisaidiwa kutoka nje ya mall, pembeni ni mwili wa mtu aliyeuawa Watu wakisaidiwa kutoka nje ya mall, pembeni ni mwili wa mtu aliyeuawa
Watu waliokuwa ndani ya Westgate wakisaidiwa kutoka nje na askari Watu waliokuwa ndani ya Westgate wakisaidiwa kutoka nje na askari
Watu waliokuwa wakifanya shopping wakisaidiwa kutoka nje ya mall na askari Watu waliokuwa wakifanya shopping wakisaidiwa kutoka nje ya mall na askari

Source: Bongo5

Saturday, September 14, 2013

IRENE UWOYA "SHIGONGO ANANICHAFUA KWENYE MAGAZETI YAKE SABABU NINA KESI NAYE MAHAKAMANI"

Ukurasa wa mbele wa gazeti la Risasi la leo Jumamosi (Sept 14) umetawaliwa na habari inayomhusu msanii wa Bongo Movie Irene Uwoya yenye kichwa cha habari “UWOYA MBARONI KWA WIZI WA SIMU!!”.
“MSANII aliyewahi kutamba kisha kuporomoka kwa kasi katika tasnia ya filamu nchini Tanzania kwa sababu ya tabia zake chafu, Irene Uwoya, amefikishwa Kituo cha Polisi Msimbazi kwa wizi wa simu aina ya iPhone 5.
MAMBO yanaendelea kumwendea kombo mwigizaji huyo huku akiwa ameanza kuporomoka vibaya kwenye sanaa na kujikuta akiingia matatani kwa tuhuma za aibu.
Uwoya ambaye siku hizi anajitutumua kwa kuanzisha kipindi kwenye runinga moja ya Bongo baada ya kushindwa kwenye filamu, alidakwa na askari wa Kituo cha Polisi Msimbazi, Dar baada ya kusakwa usiku na mchana kwa kutumia kumbukumbu ya jalada la kesi namba MS/RB/8522/13 WIZI KUTOKA MAUNGONI.”
Katika kujibu tuhuma zilizoripotiwa na gazeti hilo, Uwoya kupitia akaunti yake ya Instagram leo amepost picha ya ukurasa wa mbele wa gazeti hilo wenye habari hiyo pamoja na maneno yafuatayo:
“Minimti wenye matunda milele siogop kupigwa mawe…shigongo kamua kunichafua coz nakes nae mahakaman…anadhan ntaiacha never yeye aponde anavyoweza ila mwisho wasiku sheria iatafata mkondo wake….minayake mengi nayajua ila ngoja ninyamaze nisimwagiwe tindikali”

SHEMEJI YANGU KANIAMBIA NIKITAKA NIZIME TAA NIKALE.Nisaidieni...

Wadau natumain hamjambo, 
Nina rafiki yangu ambaye ni kama ndugu,tumetoka mbali sana na sasa ni kama mtu na kaka yake.jamaa yangu huyu(hajaoa) alikuwa na dem mmoja hivi lakini walishindwana kwa matatizo yao binafsi wakawa wameachana kama mwaka mmoja uliopita. 
Kwa kuwa nilikuwa nishatambulishwa kwa shemej yangu huyo basi hata baada ya kuachana na jamaa yangu tukawa tunasalimiana,iko siku ananipigia na mimi kuna siku nampigia kumsalim. Tunaitana shemej. 
Kuna kipindi shemej yangu huyo alikuwa na shida ya vijisent,kwa kuwa hakuweza kumwambia ex wake basi aliniambia mimi lakini nilimtonya ex kuwa mwenzake alikuwa na shida,jamaa hakutaka kumsaidia kabisa ex wake,nikachukua jukumu la kumsaidia huyo shem wangu.basi mawasiliano yakawa yapo kama kawaida kwa shem wangu huyo. Kuna siku shem aliniuliza kama wyf yupo home,nikamwambia alikuwepo lakini keshaondoka kurudi kazini kwake mkoa ana kama miez miwili sasa. 
Basi shem akawa akinipigia simu hadi nyt kali kunisalimia na kunitakia usiku mwema. Mwisho wa siku shem akaniuliza nawezaje kuishi muda wote huo wakati wyf hayupo? Nikamjibu navumilia tu, akaniambia kweli huo ni muda mrefu ila endapo nitakuwa na shida yoyote yuko tayar kunisaidia,nanukuu;"nakuonea huruma shem wangu, muda huo ni mwingi sana kwa mwanaume,endapo utahitaji kampani yangu niko tayar kukusaidia kwa lolote wakati wyf hayupo,kwani hata huyo jamaa yako mi siko nae tena,hata mimi nilishapata mtu mwingine japokuwa kwa sasa hayupo,atarudi januari mwakani". 
Niliingiwa na uoga sana lakini nikajikaza na kumwambia jamaa yangu kuwa ex wake kanipa ofa ya kapani yake na niitumie nitakavyo, jamaa akanijibu kuwa yeye alishamalizana nae, na hana sababu tena ya kurudiana nae, kama nina uwezo wa kutumia ofa hiyo basi niendelee nayo. 
wadau hiyo ndo situation niliyonayo kwa sasa,naomba mwenye ushauri mzuri zaid na wa manufaa anisaidie