Facebook
Facebook
You must log in first.
:forum-110833362/smallform/0:
Need a Facebook account?
Help Center
English (US) · বাংলা · हिन्दी · More…
Facebook ©2012

Sunday, May 5, 2013

Picha Mbali Mbali Kutoka Eneo Bomu Lililo Lipuka Kanisani Arusha


Mojawapo wa majeruhi


Idadi ya watu 3 au zaidi wamefariki dunia na wengine zaidi ya 50 wamejeruhiwa vibaya katika shambulio la kigaidi iliyotokea leo asubuhi katika Kanisa la Katholiki Parokia ya Ola City Jijini Arusha.
Majeruhi wa tukio hilo wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Ausha, Mount Meru
kwa matibabu zaidi, taarifa zilizo hivi sasa zinadai kwamba mtu mmoja anashikiriwa na Jeshi la Polisi kuhusiana na tukio hilo.
Shambulio hilo la kigaidi limeacha maswali mengi bila majibu huku jeshi la Polisi Arusha likiendelea kumhoji mtuhumiwa huyo, shambulio hilo lilifanyika wakati wa uzinduzi wa kanisa hilo.
PICHA ZAIDI>>>


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgeEKYHlyhhjnPhMLDGm-szASmxjzWiFxc3nkihAfWEdQdiNtJjM_dgCRa_NgLs3fnEjN4GCc8gKkcP44fsvM18Jcii03WhJFZ9DR_wnknwbkr1nUdXm238UkmVD71ng26Cg7PjKmdwa9c/s1600/bomu1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitpFFZOjC0EMAX-oq3KqUNda9D88TGqp8jM0BmHsCoMUdpBWePRJFx9La2F7clZZLe-OKhQigeCmZyMCXIHvQisfbTwPgP2-aDmXdre0mbo6p13Hdm35cCDIzuc2Sz5aM0wv3_cPc8Swk/s1600/bomu2.jpg

2 comments:

  1. Dah!poleni sana wa arusha,walipuaji watapatikana tu.

    ReplyDelete
  2. Hivi binadamu tunaenda wapi?mbona hamna utu.

    ReplyDelete