Facebook
Facebook
You must log in first.
:forum-110833362/smallform/0:
Need a Facebook account?
Help Center
English (US) · বাংলা · हिन्दी · More…
Facebook ©2012

Tuesday, April 30, 2013

Picha za Gari mpya ya WOLPER



Jacky Wolper a.k.a Wolper Gambe right about now yupo on road na ndinga yake mpya “Mini Cooper”. Interesting issue kuhusu gari hili ni kwamba, kwa nyuma chini ya plate number mwanadada katupia maandishi ya steel kabisa kama yametoka kiwandani na gari lenyewe..yanasomeka “WOLPER GAMBE” ambalo ni jina analotumia kwenye mitandao mingi ya kijamii. Upande wa pili mpekuzi wa bongomovietz alivyomuuliza Wolper how much zimemtoka kuvuta ndinga hiyo akasema siri yake..nikatafute kwenye internet. Basi sawa.mtandao wa mini.co.za ambao ndio dealers wa Mini Cooper kusini mwa jangwa la Sahara(Sub Sahara Mini official dealers) wameonyesha price ya R233,462 kwa Mini Cooper yenye same look na ya Wolper tukizingatia version ya gari husika..ambapo kwa pesa za madafu ni Tsh 42,012,236.If so Wolper, we gat to hack your bank account…tuvute iyo michuzi na sisi.






0 comments:

Post a Comment