Mwanamuziki kutoka Kenya, JAGUAR amenunua ndege binafsi ...
Jaguar anaefanya vizuri kwenye muziki
wake huko nchini Kenya na Africa kwa ujumla inasemekana he had
purchased ndege yake hiyo binafsi siku za nyuma kipindi cha kampeni za
uchaguzi nchini Kenya na ameshaitumia mara kadhaa ...
Jaguar ambae hivi karibuni ameachia single yake mpya inayojulikana kama
KIPEPEO inasemekana amenunua ndege hiyo ambayo pia ameshaipa jina lake, yaani AIR JAGUAR ...
Jumamosi moja katika uwanja wa ndege
wa Wilson Airstrip uliopo nchini Kenya, Jaguaranasemekana kuitumia ndege
hiyo inayopandisha abiria sita kwenda kustarehe huko Great Lake Resort,
Niavasha akiwa na baadhi ya wasanii wengine …
0 comments:
Post a Comment