Chidi Benz na Lucci wametumia Twitter kulizungumzia suala hilo kama ifuatavyo:
Chidi Benz: Unachofanya c sawa.usipindishe maneno na
usifoc makubaliano.siku tunarekod hukusema khs mkwanja,ulisema
tufanyeni kazi.u mi n kk
Lucci: Ofisi na simu zipo, KWELI kuna haja ya
kuhusisha watu zaidi ya 7,000? Kwani walikwepo tukifanya kazi? B
professional and call me
Chidi Benz: Unahisi hio ni point koz unajaribu
kutafuta points.tym tunarekod ulitweet na ukifurahia.mnakimbiliaga huku
mwisho.mimi m real. Professional ni wewe kuchange deal,hatuna lazima ya
hio kazi but haukua mpango uliopangwa,tumetumia energy.Tamaa
imekubadilisha.
Lucci: Kwani mimi sijatumia energy?!? Mara ngapi nimekuambia uje ofisini tuandikishane makubaliano? Hata vya BURE hua na maandishi.
Chidi Benz: Hakukuwa na bure,hatukutaka koz hatukuingia na force kwenu wala hatukuvunja mlango.thou ulituelekeza studio ilipo.Nakuona…
Lucci: Ulitumiwa email ya mkataba na ofisi yangu @TransforMaX_R HUKUJIBU wala hukusema terms unazotaka. JE, nifanye lipi la ZIADA?
Chidi Benz: Unafanya kazi ndio unapewa mkataba au
unapewa mkataba kisha unafanya kazi? KK ananambia khs mkataba na mi sina
mail. Studio ipo kwenu ndani chumbani I thnk pale,unahisi mtu anaweza
toka Ilala na hajui terms zako?hajui anakuja kufanya nini?
Lucci: Cha msingi ni mkataba, na hicho ndiyo kilio changu. Chumbani, Jikoni, kote kazini.
Sunday, April 7, 2013
CHID BENZ AZINGUANA NA PRODUCER LUCCI
4:41 PM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment