Facebook
Facebook
You must log in first.
:forum-110833362/smallform/0:
Need a Facebook account?
Help Center
English (US) · বাংলা · हिन्दी · More…
Facebook ©2012

Monday, June 17, 2013

PICHA YA MBUNGE WA ARUMERU JOSHUA NASARIA AKIWA AMELAZWA HOSPITALI



Mbunge Nassari anaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Selian Arusha baada ya kushambuliwa vikali na watu wenye marungu,sime ambapo ameumia kifua, shingo na Mgongo....alijinasua hapo baada ya kuwachomoka na kuonyesha silaha nakuweza kuondoka eneo hilo.

0 comments:

Post a Comment