M2 THE P amefanikiwa kutoa salamu zake za
mwisho kwa rafiki yake kipenzi ambaye
alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa
ndani ya chumba kimoja kabla ya mauti
kumkuta Ngwea....!!
Mwanzoni, M 2 THE P alikuwa amefichwa na
kudanganywa kuwa Ngwea alikuwa
ametangulia Tanzania. Baadaye Maggie Hanlon
alilazimika kumweleza ukweli....
0 comments:
Post a Comment