Facebook
Facebook
You must log in first.
:forum-110833362/smallform/0:
Need a Facebook account?
Help Center
English (US) · বাংলা · हिन्दी · More…
Facebook ©2012

Tuesday, April 30, 2013

Top 10 ya watumiaji wa madawa ya kulevya wenye akili zaidi duniani

STEVE JOBS  Imeripotiwa kwamba mwanzilishi wa Apple alitumia madawa kweny muhula wa kwanza kule Reed College in Portland, Oregon mwaka 1972. Tangu aach shule, Jobs amekuwa moja ya watu wenye mafanikio zaidi nchini America na dunia nzima kwa ujumla. Mwaka 1984,medali ya Taifa ya Technology nchini Marekani kutoka kwa rais wa kipindi hicho Ronald Reagan. Mwaka 2007, Fortune Magazine walimtaja kama mtu mwenye nguvu zaidi kwenye biashara na...

Top 10 richest countries in the world by GDP according to FOrbes magazine

Forbes magazine published an article recently on the richest 15 countries in the world and the surprise was that on top of this list is the Arab state of Qatar. Qatar topped a list that classifies countries on the basis of per capita gross domestic product, where the annual per capita income in it exceeds 88 Thousand  Dollars, according to figures from the International Monetary Fund the world...

The TOp 20 poorest countries in the world

20 Poorest Countries In The WorldWhat are the poorest countries in the world? The rankings below were published in Wikipedia from International Monetary Fund’s 2011 gross domestic product per capita (GDP per capita) report and reflecting the countries with the lowest purchasing power parity (PPP). Since 1970, there has been encouraging news emerging from developing countries. According to the UN’s 2010 Human Development Report, life expectancy...

HAPPY BELATED BIRTHDAY CHIDY BENZ CHUMA!! CHEKI PARTY YA NGUVU ALIYOIPOROMSHA NDANI YA MAISHA CLUB V.I.P

Chidy akimlisha keki joketi Hapa akimlisha keki moja kati ya mafuns wake katika siku yake zakuzaliwa Totozzilikuwa zaukweli na zakumwaga Makiss na ma hug yalihusika sana siku hiyooooo Hii hapa keki ya king kong chidy beeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeenz Hapa alikuwa anatangaza mwenyewe birthday yake na kuwalisha watru wake. Hapa sasa wakati wa mikono mfululu dongo moja baada ya lengineeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Dj...

KFC yazindua tawi lake jijini DSM leo

 Pichani kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa KFC-Tanzania,Bwa.Simon Schaffer akizungumza na Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali (hawapo pichani),mapema leo jijini Dar,kuhusiana na uzinduzi wa tawi lao jijini Dar,Tanzania.Bwa.Simon alisema kuwa wazo la kufungua mgahawa huo nchini Tanzania,ni wazo ambalo limechukua muda wa miaka 3 kutimiza,amesema kuwa KFC itahakikisha viambata vinavyotumika kuandaa vyakula vinapatikana kutoka kwa wasambazaji...

Picha za Gari mpya ya WOLPER

Jacky Wolper a.k.a Wolper Gambe right about now yupo on road na ndinga yake mpya “Mini Cooper”. Interesting issue kuhusu gari hili ni kwamba, kwa nyuma chini ya plate number mwanadada katupia maandishi ya steel kabisa kama yametoka kiwandani na gari lenyewe..yanasomeka “WOLPER GAMBE” ambalo ni jina analotumia kwenye mitandao mingi ya kijamii. Upande wa pili mpekuzi wa bongomovietz alivyomuuliza Wolper how much zimemtoka kuvuta ndinga...

Monday, April 29, 2013

Ommy Dimpoz akipagawisha mashabiki wake nchini SWeden

Ommy Dimpoz ambaye ameongoza kwa kutajwa kwenye tuzo za Kili mwaka huu kwa nominations saba, yupo kwenye ziara ya barani Ulaya hadi May 20 mwaka huu. Usiku wa kesho kuamkia May Mosi, Ommy atakuwa Oslo, Norway, ambapo atarudi tena kwenye jiji hilo May 10, tarehe 11 nchini Italia ikifuatia Gevena, Uswisi. ...

Justin Bieber na Selena warudiana

PICHA ALIYOPOOST TWITTER IKIWAONYESHA WAKIWA PAMOJA NA SELENA ...

Mastaa 10 wa bongo wenye ushawishi mkubwa Tanzania

Wakati mwingine si kitu rahisi kupima ushawishi lakini tutaangalia ni wazo mawazo gani ya mtu, mifano gani ya mtu, kipaji gani cha mtu na ugunduzi gani wa mtu uliobadilisha jambo katika nchi yetu. Hawa ndio mastaa 20 wa burudani, michezo na urembo Tanzania wenye ushawishi mkubwa zaidi 1. Wema Sepetu Well, well, well kunaweza kukawa na mjadala mrefu sana hapa wa kwanini mrembo huyu akamate nafasi ya kwanza wakati kila kukicha amekuwa akigonga...