Facebook
Facebook
You must log in first.
:forum-110833362/smallform/0:
Need a Facebook account?
Help Center
English (US) · বাংলা · हिन्दी · More…
Facebook ©2012

Friday, May 31, 2013

Siri ya kuteswa kwa Absalom Kibanda yafichuliwa,sona hapa full story.

Timu ya kuchunguza tukio la kutekwa na kuumizwa kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda (pichani), imebaini kuwa kazi yake ya uandishi wa habari na siasa vimechangia kuvamiwa kwake na kuna kutupiana mpira kati ya vyombo vya dola na vyama vya siasa. Aidha, uchunguzi wa timu hiyo umebainisha kuwa baadhi ya watu waliohojiwa walidai kuwa utekaji wa Kibanda ulifanywa na vyombo vya dola ukiwa sehemu ya mpango mkakati wa vyombo hivyo...

K Lynn afichua siri,kumbe mapacha wake wawili ni watoto wa Mengi.Cheki pic hapa...

Hatimaye miss Tanzania mwaka 2000 amefichua baba halisi wa watoto wake mapacha.Cheki alichokisema hapa... ...

Thursday, May 30, 2013

Ombaomba feki akamatwa mjini Iringa,soma story nzima hapa...

WAKAZI wa mjini Iringa hivi karibuni wameshuhudia kituko cha mwaka baada ya kumnasa mzee mmoja akijifanya ombaomba kwa kuigiza ulemavu asiokuwa nao. Ombaomba huyo feki alijifanya hana mkono wa kushoto na mguu wa kulia na kuweka pozi la kuomba kama vile ni mlemavu katika eneo la Hazina Ndogo, mjini hapa. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, mlemavu huyo feki ameumbuliwa na mtu mmoja ambaye alimuona asubuhi ya siku ya tukio akiwa hana ulemavu wowote...

Tuesday, May 28, 2013

R.I.P Mangwear,Soma hapa chanzo cha kifo chake...

Taarifa Kutoka South Africa Kutoka Kwa Hussein Original Ambaye Yupo Pretoria Amesema Ngwear Amefariki Leo Asubuhi. Alikuwa Ghetto Moja Na Msanii M To The P. Walivyokwenda Kuwagongea Asubuhi Walikuta Ngwear Amefariki Na M To The P Amepoteza Fahamu Kabisa. Pia Daktari Ameshatoa Taarifa Kwa Watu Wa Karibu Wa Ngwear Huko South Africa. Ngwea akiwa na msanii M to the P jana south africa.mtu wa karibu anasema walitakiwa kurudi dar leo lakini waliwakuta...

Friday, May 24, 2013

Wahu na Nameless watarajia kupata mtoto wa pili

Couple ya mastaa kutoka Kenya, Wahu na Nameless inategemea kuungana na couples za mastaa wengine duniani kama Kim Kardashian na Kanye West, kupokea ujio wa member mpya katika familia zao kutokana na Wahu kuwa mjamzito wa mtoto wa pili. Baada ya kuwepo uvumi kuwa Wahu ni mjauzito wa mtoto wao wa pili, hitmaker huyo wa ‘Sweet love’ amethibitisha kuwa kweli na anategemea kujifungua mapema mwezi August mwaka huu. Kupitia ukurasa wake wa facebook...

Picha za mwanasheria aliyebambwa akifanya ukahaba. Ashitaki mawakili kwa kusambaza picha zake za uchi

Mwanasheria mmoja wa Illinois ambaye alipatikana na hatia ya kufanya ngono na mwanaume mmoja kwa malipo ya Dola za Marekani 100 anamshitaki aliyekuwa wakili wake wa utetezi na mawakili wengine wawili kwa madai ya kusambaza picha zake za utupu. Reema Bajaj, mwenye miaka 27, anasema wakili wake wa zamani Timothy Johnson, mwendesha mashitaka wa zamani Calvin Campbell, na mwanasheria aliyeorodheshwa kwenye hati ya mashitaka kama ‘John Doe’ walitoa...

DR SLAA NA MPENZI WAKE RUKSA KUOANA!

HATIMAYE Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, imetupilia mbali rufaa iliyokuwa imekatwa na aliyekuwa mume wa Josephine Mushumbusi( KWA SASA NI MCHUMBA WA DR. SLAA) , Maimbo baada ya kuiona rufaa hiyo haina msingi wowote kisheria. Hukumu hiyo ya rufaa ya madai ya ndoa Na.32/2012 ilitolewa leo na Hakimu Aniseth Wambura ambapo alisema mahakama yake imefikia uamuzi huo wa kuitupa rufaa hiyo kwasababu haina mantiki ya kisheria. Hakimu Wambura...

Thursday, May 23, 2013

Kiingereza cha Diamond chazua balaa Instagram,fans wake wamuumbua kwa kiingereza kibovu

NANUKUU..!! "after I done did the Uk, Congo, Burundi... GUESS Where next I'll be headed??????????????!!!!!!!!!!!.........""" mwisho wa kunukuu  teh teh teh!!   credits;Zeddylicious Blog...

Wednesday, May 22, 2013

Cheki baadhi tu ya picha ya jinsi hali ilivyokuwa leo Mtwara masaa machache yaliyopita

Mabomu yanapigwa mfululizo maeneo ya Magomeni-Mtwara . Takriban mabomu 20 na ushee mpaka sasa. Na wanaendelea kupiga mabomu. Sasa hali si shwari kila eneo, wakionekana watu watatu wanaongea maongezi maaskari wanapiga mabomu. Mabavu yamechukua mkondo wake. Wananchi wamejifungia majumbani mwao. Chuki dhidi ya Polisi yaimarika. Polisi wanapiga mabomu bila mwelekeo. Magomeni na sokoni kimenuka, mabomu yanarushwa na wananchi wanakimbia...

Paul Okoye wa P’Square akana mtoto wa pili aliyezaliwa na msichana mwingine siku 3 kabla ya girlfriend wake Anita kujifungua

Habari za kutatanisha zinazomhusu Peter Okoye wa kundi la muziki lenye mafanikio makubwa kutoka Nigeria P’Square zinasema kuwa msichana mmoja aitwaye Elshama Benson Igbanoi ambaye ni mpenzi wa siri wa Paul amejifungua mtoto wa kiume na kudai kuwa ni wa staa huyo. Kwa mujibu wa mtandao mmoja wa Nigeria, Elshama mwenye miaka 19 alijifungua mtoto huyo wa kiume April 7, 2013 huko London Uingereza wakati girlfriend wa sasa wa Paul aitwaye Anita alijifungua...

Rais Obama kutua Tanzania Julai Mosi

Wakati Ikulu ya Marekani ikitangaza kuwa Rais Barack Obama anatarajiwa kuwasili nchini kwa ziara ya siku tatu kuanzia Julai Mosi hadi 3, Serikali ya Tanzania imesema ujio huo utasaidia kuinua uchumi kutokana na kufaidika na uwekezaji na misaada mbalimbali.  Rais Obama anatarajiwa kuzitembelea Senegal, Afrika Kusini na Tanzania. Taarifa ya Ikulu ya Marekani iliyotolewa na Ubalozi wa nchi hiyo nchini, inasema Rais Obama atazuru Afrika kuanzia...

Mr nice azomewa na mashabiki nchini Kenya

Mtandao wa ghafla kutoka Kenya umeripoti kuwa, msanii Mr Nice, amejikuta akizomewa na umati wa watu waliokuwa katika Club moja inayoitwa I club, ambapo wachekeshaji Fred Omondi na Mc Antonio hufanya show zao pale kila siku za jumapili. Inasemekana Mr Nice alikua ameenda pale kwa ajili ya kula good time tu, na kufurahisha nafsi yake, lakini matokeo yake hayakuwa kama alivyotarajia.... Aibu ilianza pale mchekeshaji Mc Antonio alipomuona...

Tuesday, May 21, 2013

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YABAINIKA NI UOZO MTUPU".....SIFURI KIBAO ZAFUTWA KIMYA KIMYA

MPANGILIO wa alama mpya za kufaulu kwa wahitimu wa kidato cha sita waliohitimu mwaka jana, ambao matokeo ya mitihani yao yanaweza kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa, unadaiwa kuzua aibu na kama si uamuzi uliotajwa bungeni wa matumizi ya alama za ufaulu za zamani, matokeo hayo yangeibua aibu kama ilivyojitokeza kwa kidato cha nne, 2012. Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya habari kutoka Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA) ambalo linaendelea...

BAADA YA TID KUTEMWA TUZO ZA KTMA, SASA KAPATA SHOW NCHINI UINGEREZA SIKU YA FAINALI ZA KTMA.

TID hatokuwa na usiku mbaya June 8 wakati tuzo za Kili zitakapokuwa zikitolewa kwakuwa atakuwa mbali akipiga show ya kimataifa na hitmaker wa Kigeugeu, Jaguar wa nchini Kenya. Hivi karibuni TID aliwalalamikia waandaji wa tuzo za Kili kwa kutoujumuisha wimbo wake kwenye tuzo za mwaka huu. Pia wiki iliyopita, alitangaza kujitoa kwenye list ya wasanii watakaomsindikiza Lady Jaydee kwenye show yake ya May 31. chanzo : bongo 5...

Saturday, May 18, 2013

NISHA AMKIMBIZA WEMA KWA KUMILIKI NYUMBA YA KIFAHARI, HII NDO NYUMBA YA NISHA YENYE THAMANI YA MILIONI 95. ICHEKI HAPA

Stori:Gladness Mallya Unakumbuka zile habari za Wema Isaac Sepetu kununuliwa jumba la kifahari na bilionea mmoja Kijitonyama, Dar? Sasa zimegeukia kwa staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye naye kuna madai mazito ya kuhongwa nyumba. Ilikuwa mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo gazeti hili lilipokea ujumbe mfupi wa simu ya mkononi ‘sms’ kutoka kwa chanzo chake. HABARI ILIVYOANZA Chanzo: Hivi ninyi mna habari? Risasi Jumamosi:...

Baada ya Mbunge wa chadema kuzushiwa kwenye scandal ya kufanya mapenzi ya jinsia moja,haya ndo maneno aliyojibu mbunge huyo.

Kupitia season mpya ya Clouds Fm, ndani ya so so fresh na fetty, Mh Halima Mdee jana amefunguka juu ya swali aliloulizwa kuhusu story zilizosambaa kuwa anashiriki mapenzi ya jinsia moja. aah unajua huwezi kuzuia watu kusema, na mimi huwa sihangaiki na watu wanasema nini, lakini ukitaka kumjua Halima unaweza ukamchunguza kirahisi sana, kwa kumuangalia alipotoka, historia yake na mahusiano yake, ambayo mengine ni wazi sana watu walikuwa wanayajua,  watu...

HII NDO LIST YA WATU MAARUFU KUTOKA KENYA NA TANZANIA, AMBAO WAMETAJWA NA MTANDAO WA KENYA KUA NI MAFREEMASON. DIAMOND NAE KATAJWA

Inawezekana kila kitu kina wakati wake, kuna muda watu walikuwa wakisikia neno ‘Freemason’ ama ‘Illuminate’ kama inavyojulikana nchini Kenya wengi walikuwa wanaiona ni habari kubwa, lakini kwa sasa hivi inaweza kuchukuliwa kama sio big deal. Sababu ni ile ile kuwa wengi wanaoendelea kwa haraka ama kuwa juu katika kile wanachokifanya basi utasikia huyo ni member wa Freemason, kwa upande wa Marekani wanasema ‘he/she just sold her/his soul...

KUA WA KWANZA KUMCHEKI MTU HUYU WA AJABU : ANAMENYA NAZI 500 KWA MDOMO....AINGIA KWENYE KITABU CHA GUINESS

A man in Panama with indestructible teeth, astonishing jaws of steel and anawesome resemblance to Mr. T is gnawing his way toward a Guinness World Record. At 64-years-old, Andres Gardin -- who chomps under the moniker "Coconut Peeler" -- is vying for immortality in the Guinness Book of World Records, with his ability to shuck 500 coconuts in six hours. He proved the feat last September, MSN reports. He's been honing his peeling skills since...

MAPITIO YA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI TAREHE 18 MEI 2013

 &nb...