Facebook
Facebook
You must log in first.
:forum-110833362/smallform/0:
Need a Facebook account?
Help Center
English (US) · বাংলা · हिन्दी · More…
Facebook ©2012

Wednesday, July 31, 2013

MWANAMKE AOZWA KWA NGUVU NA KUBAKWA NA KUNDI LA WANAUME SIKU YA HARUSI...

Mwanamke wa India mwenye miaka 24 amelazimishwa kuolewa na kubakwa na kundi la wanaume kama adhabu ya 'heshima' baada ya kaka yake kutoroka na rafiki yake wa kike, imebainika jana. Mwanamke huyo - ambaye hakuweza kutajwa kwa usalama wake - aliambiwa anatakiwa kuolewa na mume ambaye ni kaka wa mke wa mchumba mpya wa kaka yake kama 'kisasi' kwa uzinzi wa wawili hao. Na ndani ya masaa kadhaa za kufunga pingu za maisha na mumewe mpya,...

SOMA HAPA KILICHOMKUTA MADEE ALIPOWASILI NCHINI SOUTH AFRICA

Kwa takribani yapata wikii mbili sasa tokea tuhuma za madawa ya kulevya kushamili nchini hususani watanzania wanojishugulisha na maswala hayo.... Karibuni kulizuka tuhuma ambazo za kweli kwa watanzania kukamatwa na madawa ya kulevya nchini Afrika ya kusini na hii inaleta mtafaruku ya ushirikiano wa baina ya nchi na nchi... Msanii Madee kutoka Tip Top cinnection jana aliwasili nchi Afrika ya kusini na alivyowasili anasema alivyojulikana...

Saturday, July 27, 2013

HATIMAYE MBOWE AWASILISHA USHAHIDI WAKE KUHUSU BOMU LA ARUSHA

HATIMAYE Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, jana amewasilisha kwa maandishi ushahidi wake makao makuu ya Jeshi la Polisi mjini Dar es Salaam. Maelezo ya Mbowe ambayo jana yaliwasilishwa, yamekuwa siri nzito, kwani yanatokana na msimamo wa CHADEMA kudai wana ushahidi na tukio la mauaji ya mlipuko wa bomu lililotokea Juni 15, mwaka huu mkoani Arusha. Wakili wa Mbowe, Peter Kibatala alilithibitishia...

Wafungwa wa Kitanzania waliokamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong wafunguka,Soma Barua walizoandika hapa

 Habari muhimu sana ambazo bado hazijadhibitishwa kuhusiana na biashara ya madawa ya kulevya hapa nchini, lakini naona kama vile haikutiliwa mkazo sana baada ya watu kujikita zaidi kwenye si hasa.nakala ya barua iliyoandikwa Julai 11, 2013 na mfungwa wa Kitanzania kwa niaba ya wafungwa wengine wa Kitanzania waliofungwa huko Hong Kong baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya. Kama barua inavyoonyesha, nakala zimetumwa kwa vyombo vya habari...

Picha:Kajala masanja akiwa South afrika

Juzi mwigizaji wa bongo movie Kajala aliondokoka nchini kuelekea Afrika ya kusini kwa ajili ya safari binasfi ambayo pamoja na mambo mengine alitembelea shue ya uigizaji ya AFDA (AFDA the South African School of Motion Picture Medium and Live Performance) iliyopo nchini humo. ...

Magazeti ya leo July 27 2013 haya hapa..

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . .                                       Credits;Millard Ayo...

Friday, July 26, 2013

RAY C kurudi tena Stejini mwezi August

Mabibi na mabwana mko tayari kwa ujio mwingine wa Ray- C. Malkia wa kiuno bila mfupa Rehema Chalamila aka Ray-C ametangaza ujio wake rasmi baada ya kuwa chimbo kwa kipindi kirefu toka apate matatizo miezi kadhaa iliyopita. Ni baada ya siku chache kupita toka Ray-C atamke kuwa anapenda sauti ya ‘dogo lake’ Recho na kuwa atakuja kufanya naye kazi, leo amethibitisha kuwa mwezi Agosti ndio anarudi rasmi kutoka chimboni. Kupitia akaunti ya...

KIJIJI CHA MAKAHABA CHAFICHULIWA HUKO KIGAMBONI....MAKAHABA WAPANGISHA NYUMBA NZIMA KWAAJILI YA BIASHARA HIYO..!!

Safari hii imekutana na tukio la aina yake baada ya kumnasa kikongwe mmoja anayedaiwa kumiliki idadi kubwa ya madanguro katika uwanja wake na kuwapangisha makahaba katika eneo maarufu kwa jina la Kijiji cha Makahaba.  Awali kachero wa OFM alipokea ujumbe mfupi ulioelezea ufuska unaofanywa na mabinti ambao hupewa eneo na kujenga vibanda kisha kujiuza kwa bei chee katika kijiji hicho maeneo ya Kigamboni jijini Dar. Mzee Matutu...

"NILIJUA TU KWAMBA WANAFIKI WATAFURAHIA MATESO YANGU" ....AGNESS MASONGANGE

VIDEO Queen ambaye hivi karibuni alidaiwa kukamatwa na madawa yanayosadikiwa ni ya kulevya ‘unga’ nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’, Agness Gerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa alijua watu wengi watafurahia kilichompata kwa kumuongelea kila wakati. Akizungumza na mwanahabari wetu kwa njia ya simu akiwa Sauzi, Masongange ‘alishauti’ kuwa watu wengi wanamuongelea vibaya bila kujua nini kilichompata  hivyo anaamini hata marafiki zake wa karibu...

Monday, July 22, 2013

Wafumaniwa wakifanya mapenzi na kuku

Nchini Kenya katika kijiji cha Kigwandi, wilayani ya Tetu, mwanaume mmoja anashilikiliwa katika kituo cha polisi baada ya kufumaniwa akifanya mapenzi na kuku. Mwanamume huyo mwenye umri wa zaidi ya miaka 50 alikamatwa akifanya kitendo hicho na kuku juzi jioni na mwanae mwenye umri wa miaka 10 aliyeamua kumwita kaka yake na ndipo ikasaidia kukamatwa kwa mtu huyo. Kaimu afisa mkuu wa polisi katika eneo hilo, Joseph Mwika alisema mtoto wa...

Sunday, July 21, 2013

Eti Boyfriend wangu anajua mi ni bikra...Mhhh angejua!

I am a 22-year-old university student. I came to university with my v*rg*nity intact. After being here for a few months, I am no longer a v*rg*n and I have had s*x with three different guys, none of them I can call my boyfriend. I have a boyfriend. He is five years older than I am. We were both Christians. We kissed but never had s*x. I can no longer consider myself a Christian. Whenever he calls me, I don't know what to talk to him about...

HIZI NDO TIMU TAJIRI ZAIDI DUNIANI KWA MUJIBU WA FORBES MAGAZINE

1 Real Madrid Value: $3.3 billion Owner: Club members 2 Manchester United Value: $3.165 billion Owner: Glazer family #3 Barcelona Value: $2.6 billion Owner: Club members #4 New York Yankees Value: $2.3 billion Owner: Steinbrenner Family #5 Dallas Cowboys Value: $2.1 billion Owner: Jerry Jones #6 New England Patriots Value: $1.635 billion Owner: Robert Kraft #7 Los Angeles Dodgers Value: $1.615 billion Owner: Guggenheim Baseball #8 Washington...