Facebook
Facebook
You must log in first.
:forum-110833362/smallform/0:
Need a Facebook account?
Help Center
English (US) · বাংলা · हिन्दी · More…
Facebook ©2012

Sunday, June 30, 2013

PICHA:ICHEKI DUBAI YA MWAKA 1950 NA DUBAI YA MWAKA 2013

Hii ni Dubai mwaka wa 1950 kabisa angalia picha kwa umakini kabisa........unaweza kusema ni nchini iliyozigirwa na maji na isiyona muonekano kabisa....lakini kutoka mwaka huo hadi leo hii mwaka 2013 ni hatua kubwa imechukuliwaya maendeleo nchini Dubai.... Dubai kwa sasa ndio nchi nzuri kuliko zote dunia kwa kila aina ya starehe ukiachazamani iliyokuwa inaongoza nchini Marekani kutokana na vivutio vingi namji wake mzuri kabisa Las Vegas,Nevada....... Na...

Kweli Tanzania Hakuna Pesa?: Huyu Ndiye Mtanzania Anaemiliki Gari La Tsh Bilioni Moja

“HII sasa ni kufuru!” Hivi ndivyo utakavyoweza kusema kwa Davies Mosha ambaye ni makamu mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Yanga, ambaye nafasi yake kwa sasa klabuni hapo inashikiliwa na Clement Sanga. Kwa tafsiri ya haraka, yawezekana Mosha anaweza kuwa ndiye kiongozi pekee wa soka nchini kumiliki gari la kifahari na lenye gharama kubwa aina ya Lamborghini kama ambalo linamilikiwa na mshambuliaji wa Manchester United,...

Friday, June 28, 2013

LAANA: ANGALIA VIDEO YA NGONO KATI YA MWANAFUNZI NA LECTURER WAKE.... WAJIREKODI NA WENYEWE NA KUISAMBAZA MITANDAONI.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, mwanafunzi wa kike wa Ghana ambaye inasadikika kuwa anasoma chuo kikuu cha kisiasa maarufu nchini humo,alituma video chafu mitandaoni ambayo inamuonesha yeye na mwalimu wake wakila raha za dunia. Chanzo chetu kinasema, binti huyo ambaye amekuwa gumzo chuoni hapo, ni maarufu sana kwa kuwa wanaume lukuki ambao amekuwa akifanya nao mapenzi kwa kuwabadilisha kama karanga za kuonja!!!! Chanzo kiliongeza,...

Thursday, June 27, 2013

MOHAMMED DEWJI; Mtanzania wa kwanza kutokea kwenye frontpage ya jarida maarufu la Forbes Magazine

-Mo mjasirimali kijana mwenye mafanikio ya kipekee katika bara la Afrika. Mjasirimali mchapakazi na Mbunge Kijana nchini Tanzania, Mohammed Dewji (MO) ametajwa katika jarida la Kimataifa la mabilionea duniani katika Nyanja za biashara (Forbes Africa Magazine) kama mjasirimali mwenye umri mdogo mwenye mafanikio ya kuigwa hapa Afrika na duniani kwa ujumla taarifa la Jarida hilo limeeleza. Kwa mujibu wa taarifa hizo toka kwa Jarida hilo...

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI TAREHE 27/06/2013

...

MEMBE:MSIJE DAR WAKATI WA ZIARA YA OBAMA

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe amewashauri watu walioko mikoani kusitisha safari za kuja Dar es Salaam wakati wa ziara ya Rais wa Marekani, Barrack Obama kutokana na wingi wa wageni katika jiji hilo. Ugeni huo pamoja na ule wa viongozi kumi na moja kutoka nchi mbalimbali duniani watakaohudhuria mkutano wa kimataifa wa Smart Partnership utakaofunguliwa kesho na Rais Jakaya Kikwete kwenye Ukumbi wa Mikutano wa...

OMMY DIMPOZ ASAINI MKATABA KUPIGA TOUR YA USA NA CANADA

Omary Fereji Nyembo a.k.a Ommy Dimpoz, amesaini mkataba na kampuni ya DMK Global Promotion leo  hii kwa ajili ya tour atakayoifanya Canada na Marekani mwezi wa tisa mwaka huu. "yaah nimesaini mkataba na nitaondoka kwenda kwenye tour hiyo mwanzoni mwa mwezi wa tisa, imekuwa hivyo kwasababu tunasubiri mwezi mtukufu upite si unajua tena, kampuni niliyosaini nayo inaitwa DMK global promotion ambayo ni ya mtanzania ambae anaishi marekani."...

Wednesday, June 26, 2013

KAJALA AFUNGUKA KUHUSU BEEF LAKE NA WEMA SEPETU

Baada ya siku chache za magazeti ya udaku nchini kuripoti kuhusu kuvunjika kwa uhusiano wa karibu sana kati ya mwanadada Wema sepetu na Muigizaji mwenzake Kajala masanja, tuliamua kufanya uchunguzi wa kina ili kupata ukweli wa suala hili ili tusije kuipotosha jamii kwa habari za zisizo na ushahidi wowote. Katika habari iliyoripotiwa na blogs na magazeti kadhaa ya udaku kuhusu kuvunjika kwa uhusiano huo zilisema kuwa chanzo ni vitendo vya...

SERIKALI YAMTETEA WAZIRI MKUU...YADAI POLISI WANARUHUSIWA KUPIGA NA KUUA KISHERIA

Serikali imetoa tamko bungeni kuhusu mauaji ya raia mikononi mwa polisi ikieleza kuwa sheria ya kanuni ya adhabu inaruhusu kutumia nguvu za kadiri hata kiasi cha kusababisha madhara au kifo.Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kunukuliwa bungeni akiwataka polisi kuwashughulikia kwa kuwapiga watu wote wanaokaidi kutii sheria.“…Nasema wapigwe tu, maana tumechoka sasa,” alisema Pinda alipojibu maswali ya papo hapo...

BAKHRESA AFANYA KUFURU!

Huu ndio muonekano mpya wa bandali ya zanzibar ambapo mpango mzima umesimamiwa na mwenyewe BAKHRESA, Mwenyez Mungu akuzidishie maana iyo bandal ilikuwa kana kichocholo vile, SOON WILL BE THERE     source;Zeddylicious ...

Ziara ya Obama Africa;Awekewa Ulinzi mkali haujawahi tokea

Dar es Salaam. Ulinzi katika ziara ya Obama ni wa hali ya juu kuliko ulinzi wa aliyewahi kupewa Rais yeyote wa Marekani kwa safari yake ya Afrika mwaka huu. Tayari jeshi la nchi hiyo limewasili nchini, kuweka mambo sawa na kukagua maeneo yote ya karibu na sehemu atakazotembelea na kupita wakati wa ziara hiyo. Maaskari na majasusi zaidi ya 500 wapo Dar es Salaam kuhakikisha usalama huo na kuweka vifaa mbalimbali vya mawasiliano Uwanja wa...