Kampuni ya Apple ina kawaida ya kuitisha mikutano kila mwaka na kila mara wanapoitisha mikutano lazima watangaze kutoa device mpya au vifaa vipya.Apple ambao kwa sasahivi wanakimbiza soko na smartphones zao za iPhone 5 wameitisha mkutano tarehe 10 September 2013 na kwenye mitandao imezuka mijadala mbalimbali ya watu wakijaribu kudadisi aina gani ya simu mpya ambayo Apple wataitoa.Na hizi ni baadhi ya picha zilizovuja kutoka viwandani vya Apple zinazoonesha simu mpya mbili aina ya 5s na 5c ambazo inasemekana Apple watazitambulisha sokoni hivi karibuni.
Picha hizi inasemekana zimeleak kutoka kiwanda kimojawapo cha Apple.Na iPhone 5c ni hii hapa chini inasemekana yenyewe itakuwa ni plastic zaidi...
Hizo hapo juu ni 5c ambazo zinasemekana zitauzwa bei ndogo sana na kila mtu ataweza kuafford.
iPHONE 5s na iPhone 5c zikiwa kiwandani.
Hizo juu ni iPhone 5s |
Picha hizi inasemekana zimeleak kutoka kiwanda kimojawapo cha Apple.Na iPhone 5c ni hii hapa chini inasemekana yenyewe itakuwa ni plastic zaidi...
Hizo hapo juu ni 5c ambazo zinasemekana zitauzwa bei ndogo sana na kila mtu ataweza kuafford.
iPHONE 5s na iPhone 5c zikiwa kiwandani.