Facebook
Facebook
You must log in first.
:forum-110833362/smallform/0:
Need a Facebook account?
Help Center
English (US) · বাংলা · हिन्दी · More…
Facebook ©2012

Tuesday, August 27, 2013

Zimevujaa;Kuwa wa kwanza kuzicheki simu mpya kutoka Apple nazo ni iPhone 5s na iPhone 5c

Kampuni ya Apple ina kawaida ya kuitisha mikutano kila mwaka na kila mara wanapoitisha mikutano lazima watangaze kutoa device mpya au vifaa vipya.Apple ambao kwa sasahivi wanakimbiza soko na smartphones zao za iPhone 5 wameitisha mkutano  tarehe 10 September 2013 na kwenye mitandao imezuka mijadala mbalimbali ya watu wakijaribu kudadisi aina gani ya simu mpya ambayo Apple wataitoa.Na hizi ni baadhi ya picha zilizovuja kutoka viwandani vya Apple zinazoonesha simu mpya mbili aina ya 5s na 5c ambazo inasemekana Apple watazitambulisha sokoni hivi karibuni.


iPhone 5S(Topintz.blogspot.com)iphone-5s-5c-leak-4
 
iphone-5s
Hizo juu ni iPhone 5s

Picha hizi inasemekana zimeleak kutoka kiwanda kimojawapo cha Apple.Na iPhone 5c ni hii hapa chini inasemekana yenyewe itakuwa ni plastic zaidi...


iphone-5c-packaging2-ogrady
Apple's low-cost, plastic iPhone 5C colors - Jason O'Grady5C-back-cover+side-keys-ori-new-02
 Hizo hapo juu ni 5c ambazo zinasemekana zitauzwa bei ndogo sana na kila mtu ataweza kuafford.

iphone-5s-5c-leak-2
            iPHONE 5s na iPhone 5c zikiwa kiwandani.      

Breaking News- Samaki Samaki yateketea

Kiota maarufu cha burudani cha Samaki Samaki iliyopo Mbezi Makonde jijini Dar es Salaam imeteketea kwa moto leo.Habari zaidi tutaendelea kuwajulisha...



 1236474_10151809889724763_698680476_n

Saturday, August 24, 2013

Page za Magazeti ya leo August 24 2013





.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.


                       Credits;Millard Ayo

USAJILI WA BALE: BAADA YA JANA KUANZA KUUZA JEZI ZAKE - LEO HII REAL MADRID WAANZA KUTENGENEZA JUKWAA LA KUMTAMBULISHA MCHEZAJI MPYA

Gareth Bale anakaribia kutua Real Madrid

BSW25jqIgAAKTWM {Pictures} Real Madrid preparing stage for tomorrows presentation of Gareth Bale [AS]
Ujeniz wa jukwaa kubwa la kutambulishia wachezaji wakubwa wanaosajiliwa na Real Madrid ukiendelea mapema jana mchana. Inaaminika Real Madrid wapo katika hatua za mwisho za kumsajili Gareth Bale kwa ada ya uhamisho wa £94m ambayo itakuwa rekodi mpya ya dunia baada ya ile £80m waliyolipa Madrid kumsajili Cristiano Ronaldo kutoka Manchester United miaka minne iliyopita.
Miaka minne iliyopita Cristiano Ronaldo alikuwa mtu wa mwisho kupita juu ya jukwaa hili - na kama habari zilizopo ni za kuaminika basi Gareth Bale akiwa na jezi yake namba 11 atakuwa mchezaji mwingine kutoka ligi kuu ya Uingereza kupanda kwenye jukwaa ndani ya uwanja wa Santiago Bernabeu ndani ya siku chache zijazo 
                              


                        Credits;Shaffih Dauda

Monday, August 19, 2013

SKENDO;HUYU NDO MSANII WA MUZIKI ALIYEANIKA PICHA ZAKE KIBAO ZA UCHI AKIWA NA MADEMU TOFAUTI WAKIBONGO


xdjay  imefanikiwa kunasa picha mbalimbali za aibu za msanii chipukizi na mwanamuziki Manaiki Sanga akifanya ufuska wa kutisha na wanawake tofauti tofauti hali inayoonesha ameazimia kujitoa muhanga juu ya gonjwa hatari la ukimwi linalotishia dunia nzima.


Habari za uhakika toka kwa chanzo chetu kilichotushushia shehena za  picha hizo kilisema msanii huyo ambae pia ni anaigiza pamoja na kundi  la Ze Komedi la East Afrika Tv tangu apate jina amekuwa akijihusisha  na vitendo viovu vya unyanyasaji wa kijinsia kwa kuwarubuni mabinti  kupiga nao picha za aibu kwa lengo la kutafuta jina na amekuwa 
akitumia kiasi kikubwa cha pesa kufanikisha suala hilo. 


Aidha katika hali nyingine msanii huyo aliyetamba sana kwenye filamu  ya Love Position, Tikisa na nyinginezo amekuwa akitumia gari yake  kufanyia ufusika  hadharani....



































































 
 
CREDITS; OfficialA.B Blog